2 Samweli 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Daudi akawapa Wagibeoni wana hao, nao wakatundika maiti zao mlimani mbele za Yehova.+ Wana wote saba walikufa pamoja; waliuawa siku za kwanza za mavuno, mwanzoni mwa mavuno ya shayiri. 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:9 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2022, uku. 13
9 Daudi akawapa Wagibeoni wana hao, nao wakatundika maiti zao mlimani mbele za Yehova.+ Wana wote saba walikufa pamoja; waliuawa siku za kwanza za mavuno, mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.