1 Wafalme 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea hivi: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba ufalme ulipaswa kuwa wangu, na Israeli wote walikuwa wamenielekezea uso ili niwe mfalme;+ lakini ufalme ukageuka, ukawa wa ndugu yangu, kwa maana ni kutokana na Yehova kwamba ukawa wake.+
15 Naye akaendelea hivi: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba ufalme ulipaswa kuwa wangu, na Israeli wote walikuwa wamenielekezea uso ili niwe mfalme;+ lakini ufalme ukageuka, ukawa wa ndugu yangu, kwa maana ni kutokana na Yehova kwamba ukawa wake.+