5 Wakati huo Adoniya+ mwana wa Hagithi+ alikuwa akijiinua,+ akisema: “Ni mimi nitakayetawala nikiwa mfalme!”+ Naye akajitengenezea gari pamoja na wapanda-farasi 50 wanaokimbia mbele yake.+
25 Kwa maana leo ameshuka ili atoe dhabihu+ ya ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, na kuwaalika wana wote wa mfalme na wakuu wa jeshi na Abiathari kuhani;+ na tazama, wanakula na kunywa mbele yake na kusema, ‘Mfalme Adoniya na aishi!’+