33 Na damu yao lazima irudi juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya kichwa cha uzao wake mpaka wakati usio na kipimo;+ lakini kwa ajili ya Daudi+ na kwa ajili ya uzao wake na kwa ajili ya nyumba yake na kwa ajili ya kiti chake cha ufalme, kutakuwa na amani mpaka wakati usio na kipimo kutoka kwa Yehova.”+