Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nami hakika nitaweka imara uzao wake milele+

      Na kiti chake cha ufalme kama siku za mbingu.+

  • Zaburi 132:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+

      Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+

      Wana wao pia milele+

      Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+

  • Methali 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mwovu na aondolewe mbele ya mfalme,+ na kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa uadilifu wenyewe.+

  • Isaya 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hakutakuwa na mwisho kwa habari ya wingi wa huo utawala wa kifalme+ na kwa amani,+ juu ya kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake ili kuufanya imara+ na kuutegemeza kwa njia ya haki+ na kwa njia ya uadilifu,+ kuanzia sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki