1 Wafalme 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:1 g 5/12 17 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:1 Amkeni,5/2012, uku. 17 “Kila Andiko,” uku. 47
6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+