1 Wafalme 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo akamwambia: “Mimi pia ni nabii kama wewe, na malaika+ alisema nami kwa neno la Yehova hivi, ‘Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako ili ale mkate na anywe maji.’” (Alimdanganya.)+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:18 w08 8/15 9 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:18 Mnara wa Mlinzi,8/15/2008, kur. 9-10
18 Kwa hiyo akamwambia: “Mimi pia ni nabii kama wewe, na malaika+ alisema nami kwa neno la Yehova hivi, ‘Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako ili ale mkate na anywe maji.’” (Alimdanganya.)+