7 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaita wanaume wazee wa nchi+ na kusema: “Tafadhali angalieni, oneni kwamba mtu huyu anatafuta msiba;+ kwa maana alituma watu kwangu kuchukua wake zangu na wanangu na fedha yangu na dhahabu yangu, nami sikumnyima vitu hivyo.”