1 Wafalme 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikawa kwamba mara tu aliposikia neno hilo, wakati yeye na wale wafalme walipokuwa wakinywa+ katika vibanda, mara moja akawaambia watumishi wake: “Jitayarisheni!” Nao wakaanza kujitayarisha kulishambulia jiji.
12 Na ikawa kwamba mara tu aliposikia neno hilo, wakati yeye na wale wafalme walipokuwa wakinywa+ katika vibanda, mara moja akawaambia watumishi wake: “Jitayarisheni!” Nao wakaanza kujitayarisha kulishambulia jiji.