1 Wafalme 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati wale vijana+ wa wakuu wa wilaya za utawala walipotoka kwanza, mara moja Ben-hadadi akatuma watu; nao wakaja na kumwambia, wakisema: “Kuna watu ambao wametoka katika Samaria.”
17 Wakati wale vijana+ wa wakuu wa wilaya za utawala walipotoka kwanza, mara moja Ben-hadadi akatuma watu; nao wakaja na kumwambia, wakisema: “Kuna watu ambao wametoka katika Samaria.”