1 Wafalme 20:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo yule nabii akaenda, akasimama tuli akimngojea mfalme kando ya barabara, naye akakaa akiwa amejibadilisha sura+ kwa kujifunga kitambaa juu ya macho yake.
38 Ndipo yule nabii akaenda, akasimama tuli akimngojea mfalme kando ya barabara, naye akakaa akiwa amejibadilisha sura+ kwa kujifunga kitambaa juu ya macho yake.