2 Wafalme 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo akasema: “Basi leteni unga.” Baada ya kuutupa ndani ya kile chungu, akaendelea kusema: “Wapakulieni watu ili wale.” Na hakuna chochote chenye kudhuru kilichokuwa ndani ya kile chungu.+
41 Kwa hiyo akasema: “Basi leteni unga.” Baada ya kuutupa ndani ya kile chungu, akaendelea kusema: “Wapakulieni watu ili wale.” Na hakuna chochote chenye kudhuru kilichokuwa ndani ya kile chungu.+