2 Wafalme 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehu akatoka nje, akawaendea watumishi wa bwana wake, nao wakaanza kumuuliza: “Je, ni salama?+ Kwa nini huyu mwenda-wazimu+ alikuja kwako?” Lakini akawaambia: “Ninyi mnajua vema mtu huyo na namna yake ya kuongea.”
11 Ndipo Yehu akatoka nje, akawaendea watumishi wa bwana wake, nao wakaanza kumuuliza: “Je, ni salama?+ Kwa nini huyu mwenda-wazimu+ alikuja kwako?” Lakini akawaambia: “Ninyi mnajua vema mtu huyo na namna yake ya kuongea.”