2 Wafalme 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha yule mjumbe+ akaingia na kumwambia: “Wamevileta vichwa+ vya wana wa mfalme.” Kwa hiyo akasema: “Viwekeni katika mafungu mawili kwenye mwingilio wa lango mpaka asubuhi.”+
8 Kisha yule mjumbe+ akaingia na kumwambia: “Wamevileta vichwa+ vya wana wa mfalme.” Kwa hiyo akasema: “Viwekeni katika mafungu mawili kwenye mwingilio wa lango mpaka asubuhi.”+