2 Wafalme 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi jueni kwamba hakuna neno lolote la Yehova litakaloanguka chini+ bila kutimizwa ambalo Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu;+ na Yehova mwenyewe amefanya aliyoyasema kupitia Eliya mtumishi wake.”+
10 Basi jueni kwamba hakuna neno lolote la Yehova litakaloanguka chini+ bila kutimizwa ambalo Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu;+ na Yehova mwenyewe amefanya aliyoyasema kupitia Eliya mtumishi wake.”+