2 Wafalme 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mambo mengine ya Yehoahazi na yote aliyoyafanya na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
8 Na mambo mengine ya Yehoahazi na yote aliyoyafanya na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?