1 Mambo ya Nyakati 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Nimetenda dhambi sana+ kwa kuwa nimefanya jambo hili. Na sasa, tafadhali, acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+
8 Basi Daudi akamwambia Mungu wa kweli: “Nimetenda dhambi sana+ kwa kuwa nimefanya jambo hili. Na sasa, tafadhali, acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+