1 Mambo ya Nyakati 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa. 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:26 “Kila Andiko,” kur. 77-78
26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa.