2 Mambo ya Nyakati 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na farasi wa Sulemani walisafirishwa kutoka Misri,+ na wanabiashara wa mfalme wakawa wakichukua kundi la farasi kwa bei fulani.+
16 Na farasi wa Sulemani walisafirishwa kutoka Misri,+ na wanabiashara wa mfalme wakawa wakichukua kundi la farasi kwa bei fulani.+