2 Mambo ya Nyakati 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa kwa habari ya Yahazieli mwana wa Zekaria mwana wa Benaya mwana wa Yeieli mwana wa Matania, Mlawi, wa wana wa Asafu,+ roho+ ya Yehova ikaja juu yake katikati ya kutaniko.
14 Sasa kwa habari ya Yahazieli mwana wa Zekaria mwana wa Benaya mwana wa Yeieli mwana wa Matania, Mlawi, wa wana wa Asafu,+ roho+ ya Yehova ikaja juu yake katikati ya kutaniko.