2 Mambo ya Nyakati 20:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akisema: “Kwa sababu umefanya ushirika na Ahazia,+ hakika Yehova atazivunja kazi zako.”+ Basi zile meli zikavunjwa,+ nazo hazikuwa na nguvu za kwenda Tarshishi.+
37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akisema: “Kwa sababu umefanya ushirika na Ahazia,+ hakika Yehova atazivunja kazi zako.”+ Basi zile meli zikavunjwa,+ nazo hazikuwa na nguvu za kwenda Tarshishi.+