2 Mambo ya Nyakati 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ jeshi la Siria+ likaja kupigana naye,+ nao wakaanza kuvamia Yuda na Yerusalemu. Ndipo wakawaangamiza wakuu+ wote wa watu kutoka katikati ya watu, nao wakapeleka nyara yao yote kwa mfalme wa Damasko.+
23 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ jeshi la Siria+ likaja kupigana naye,+ nao wakaanza kuvamia Yuda na Yerusalemu. Ndipo wakawaangamiza wakuu+ wote wa watu kutoka katikati ya watu, nao wakapeleka nyara yao yote kwa mfalme wa Damasko.+