2 Mambo ya Nyakati 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwanzoni mwa mwaka, jeshi la Siria lilikuja kumshambulia Yehoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu.+ Kisha likawaua wakuu wote+ wa watu na kupeleka nyara zao zote kwa mfalme wa Damasko.
23 Mwanzoni mwa mwaka, jeshi la Siria lilikuja kumshambulia Yehoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu.+ Kisha likawaua wakuu wote+ wa watu na kupeleka nyara zao zote kwa mfalme wa Damasko.