5 Naye akapigana vita na mfalme wa wana wa Amoni,+ na mwishowe akawa na nguvu kuliko wao, hivi kwamba wana wa Amoni wakampa mwaka huo talanta mia moja za fedha na vipimo+ elfu kumi vya ngano+ na elfu kumi vya shayiri.+ Wana wa Amoni walimlipa vitu hivyo, pia katika mwaka wa pili na wa tatu.+