Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa baada ya muda kwamba wana wa Amoni wakaanza kupigana na Israeli.+

  • 2 Samweli 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kwamba baadaye mfalme wa wana wa Amoni+ akafa, na Hanuni mwana wake akaanza kutawala badala yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+

  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki