Waamuzi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikawa baada ya muda kwamba wana wa Amoni wakaanza kupigana na Israeli.+ 2 Samweli 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kwamba baadaye mfalme wa wana wa Amoni+ akafa, na Hanuni mwana wake akaanza kutawala badala yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+ Yeremia 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+
10 Na ikawa kwamba baadaye mfalme wa wana wa Amoni+ akafa, na Hanuni mwana wake akaanza kutawala badala yake.+
20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+
49 Kuhusu wana wa Amoni,+ Yehova amesema hivi: “Je, Israeli hana wana, au, je, yeye hana mrithi? Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi,+ na watu wake mwenyewe wamekaa katika majiji ya Israeli?”+