12 Ndipo Yeftha akatuma wajumbe kwa mfalme wa wana wa Amoni,+ akisema: “Nina nini na wewe,+ kwa kuwa umekuja juu yangu ili kupigana katika nchi yangu?”
33 Akawapiga kwa mauaji makubwa sana kutoka Aroeri mpaka Minithi,+ majiji 20, na mpaka Abel-keramimu. Basi wana wa Amoni wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli.
11Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+