Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.

  • Waamuzi 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+

  • Waamuzi 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo Yeftha akatuma wajumbe kwa mfalme wa wana wa Amoni,+ akisema: “Nina nini na wewe,+ kwa kuwa umekuja juu yangu ili kupigana katika nchi yangu?”

  • Waamuzi 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Akawapiga kwa mauaji makubwa sana kutoka Aroeri mpaka Minithi,+ majiji 20, na mpaka Abel-keramimu. Basi wana wa Amoni wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli.

  • 1 Samweli 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki