Mwanzo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii. Waamuzi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baadaye wana wa Amoni+ wakakusanywa pamoja, wakapiga kambi katika Gileadi.+ Kwa hiyo wana wa Israeli wakajikusanya pamoja, wakapiga kambi katika Mispa.+
38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.
17 Baadaye wana wa Amoni+ wakakusanywa pamoja, wakapiga kambi katika Gileadi.+ Kwa hiyo wana wa Israeli wakajikusanya pamoja, wakapiga kambi katika Mispa.+