Mwanzo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii. Waamuzi 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, akakusanya wana wa Amoni+ na Amaleki+ juu yao. Ndipo wakaenda, wakapiga Israeli na kulichukua jiji la mitende.+ Waamuzi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+
38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.
13 Zaidi ya hayo, akakusanya wana wa Amoni+ na Amaleki+ juu yao. Ndipo wakaenda, wakapiga Israeli na kulichukua jiji la mitende.+
7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+