2 Mambo ya Nyakati 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na wapiga-mishale+ wakampiga Mfalme Yosia, hivi kwamba mfalme akawaambia watumishi wake: “Nishusheni, kwa sababu nimeumizwa vibaya sana.”+
23 Na wapiga-mishale+ wakampiga Mfalme Yosia, hivi kwamba mfalme akawaambia watumishi wake: “Nishusheni, kwa sababu nimeumizwa vibaya sana.”+