14 Na pia vyombo vya dhahabu na fedha+ vya nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka katika hekalu, lililokuwa Yerusalemu, na kuvileta katika hekalu la Babiloni,+ Mfalme+ Koreshi alivitoa katika hekalu la Babiloni, vikapewa mtu anayeitwa Sheshbazari,+ aliyemfanya kuwa gavana.+