Ezra 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia wakaja kujikusanya kwangu, kila mtu akitetemeka+ kwa sababu ya maneno ya Mungu wa Israeli juu ya kukosa uaminifu kwa watu waliohamishwa, nami nikiwa nimeketi huku nimepigwa na bumbuazi mpaka wakati wa toleo la nafaka la jioni.+
4 Pia wakaja kujikusanya kwangu, kila mtu akitetemeka+ kwa sababu ya maneno ya Mungu wa Israeli juu ya kukosa uaminifu kwa watu waliohamishwa, nami nikiwa nimeketi huku nimepigwa na bumbuazi mpaka wakati wa toleo la nafaka la jioni.+