6 Kisha Ezra akasimama kutoka mbele ya nyumba ya Mungu wa kweli, akaenda katika jumba la kulia chakula+ la Yehohanani mwana wa Eliashibu. Ingawa alienda huko, hakula mkate+ wala kunywa maji, kwa kuwa alikuwa anaomboleza+ juu ya ukosefu wa uaminifu wa watu waliohamishwa.