6 Sasa Ezra akaondoka mbele ya nyumba ya Mungu wa kweli na kwenda katika chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Ingawa alienda huko, hakula chakula wala kunywa maji, kwa maana alikuwa akiomboleza kwa sababu ya ukosefu wa uaminifu wa watu waliotoka uhamishoni.+