Ezra 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikapatikana kwamba baadhi ya wana wa makuhani+ walikuwa wamewapa makao wake wa kigeni; wa wana wa Yeshua+ mwana wa Yehosadaki+ na ndugu zake, Maaseya na Eliezeri na Yaribu na Gedalia.
18 Na ikapatikana kwamba baadhi ya wana wa makuhani+ walikuwa wamewapa makao wake wa kigeni; wa wana wa Yeshua+ mwana wa Yehosadaki+ na ndugu zake, Maaseya na Eliezeri na Yaribu na Gedalia.