Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana wamekubali baadhi ya binti zao kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao;+ nao, ule uzao mtakatifu,+ wamechanganyika+ na vikundi vya watu wa nchi, na mkono wa wakuu na watawala-wasaidizi umekuwa wa kwanza+ kabisa katika ukosefu huu wa uaminifu.”

  • Nehemia 13:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa Eliashibu+ kuhani mkuu alikuwa mwana-mkwe wa Sanbalati+ Mhoroni.+ Kwa hiyo nikamfukuza atoke kwangu.+

  • Ezekieli 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao hawatamwoa mjane au mwanamke yeyote aliyetalikiwa,+ lakini wanaweza kuoa mabikira wa uzao wa nyumba ya Israeli+ au mjane ambaye ni mjane wa kuhani.’

  • Malaki 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki