Nehemia 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baada yake Nehemia mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya wilaya ya Beth-suri,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Makaburi+ ya Daudi na mpaka kwenye kidimbwi+ ambacho kilikuwa kimetengenezwa na mpaka kwenye Nyumba ya Wenye Nguvu.+
16 Baada yake Nehemia mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya wilaya ya Beth-suri,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Makaburi+ ya Daudi na mpaka kwenye kidimbwi+ ambacho kilikuwa kimetengenezwa na mpaka kwenye Nyumba ya Wenye Nguvu.+