Nehemia 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baada yake Nehemia mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya wilaya ya Beth-suri,+ alirekebisha kuanzia mbele ya Makaburi ya Daudi+ mpaka kwenye kidimbwi+ kilichokuwa kimetengenezwa hadi kwenye Nyumba ya Wenye Nguvu.
16 Baada yake Nehemia mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya wilaya ya Beth-suri,+ alirekebisha kuanzia mbele ya Makaburi ya Daudi+ mpaka kwenye kidimbwi+ kilichokuwa kimetengenezwa hadi kwenye Nyumba ya Wenye Nguvu.