Nehemia 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baada yake Walawi+ wakafanya kazi ya kurekebisha, Rehumu mwana wa Bani;+ na kando yake Hashabia, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila,+ akafanya kazi ya kurekebisha kwa ajili ya wilaya yake.
17 Baada yake Walawi+ wakafanya kazi ya kurekebisha, Rehumu mwana wa Bani;+ na kando yake Hashabia, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila,+ akafanya kazi ya kurekebisha kwa ajili ya wilaya yake.