Yoshua 15:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 na Keila+ na Akzibu+ na Maresha;+ majiji tisa na makao yake. 1 Samweli 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya muda wakamletea Daudi habari, wakisema: “Tazama, Wafilisti wanapiga vita juu ya Keila,+ nao wanapora viwanja vya kupuria.”+ 1 Mambo ya Nyakati 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na wana wa mke wa Hodia, dada ya Nahamu, walikuwa baba ya Keila+ Mgarmi, na Eshtemoa Mmaakathi.
23 Baada ya muda wakamletea Daudi habari, wakisema: “Tazama, Wafilisti wanapiga vita juu ya Keila,+ nao wanapora viwanja vya kupuria.”+