Nehemia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wengine nao walikuwa wakisema: “Tunatoa mashamba yetu na mizabibu yetu na nyumba zetu kuwa rehani+ ili tupate nafaka wakati wa upungufu wa chakula.”
3 Wengine nao walikuwa wakisema: “Tunatoa mashamba yetu na mizabibu yetu na nyumba zetu kuwa rehani+ ili tupate nafaka wakati wa upungufu wa chakula.”