Nehemia 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa sababu hii alikuwa amelipwa+ ili niogope+ na kufanya hivyo, nami nitende dhambi,+ ili wawe na nafasi ya kueneza sifa mbaya juu yangu,+ wapate kunishutumu.+
13 Kwa sababu hii alikuwa amelipwa+ ili niogope+ na kufanya hivyo, nami nitende dhambi,+ ili wawe na nafasi ya kueneza sifa mbaya juu yangu,+ wapate kunishutumu.+