36 na mzaliwa wa kwanza+ wa wana wetu na wa wanyama wetu wa kufugwa,+ kulingana na mambo yaliyoandikwa katika sheria,+ na mzaliwa wa kwanza wa mifugo yetu na wa makundi yetu,+ kuwaleta katika nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani waliokuwa wakihudumu katika nyumba ya Mungu wetu.+