36 vilevile tutatoa wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume na pia wa mifugo yetu—kama ilivyoandikwa katika Sheria+—wazaliwa wetu wa kwanza wa ng’ombe na wa kondoo. Tutawaleta kwenye nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani wanaohudumu kwenye nyumba ya Mungu wetu.+