19 Na ikawa kwamba, mara malango ya Yerusalemu yalipoingia giza kabla ya sabato, nikaamuru mara moja na malango yakaanza kufungwa.+ Tena nikasema kwamba wasiyafungue mpaka baada ya sabato; nami nikaweka malangoni baadhi ya watumishi wangu ili mzigo wowote usiingie ndani siku ya sabato.+