9 Na mmoja wa wakuu wenye cheo+ wa mfalme apewe yale mavazi na yule farasi; nao wamvike mtu ambaye mfalme amependa kumheshimu, nao wampandishe juu ya farasi katika kiwanja cha watu wote+ cha jiji,+ nao wapaaze sauti mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme amependa kumheshimu.’”+