Esta 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi Mfalme Ahasuero akamwambia Malkia Esta na Mordekai Myahudi: “Tazama! Nimempa Esta+ nyumba ya Hamani, naye wamemtundika mtini,+ kwa sababu alinyoosha mkono wake juu ya Wayahudi.
7 Basi Mfalme Ahasuero akamwambia Malkia Esta na Mordekai Myahudi: “Tazama! Nimempa Esta+ nyumba ya Hamani, naye wamemtundika mtini,+ kwa sababu alinyoosha mkono wake juu ya Wayahudi.