Ayubu 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli, je, mtu yeyote anayechukia haki ataongoza,+Na ikiwa mwenye nguvu ni mwadilifu, je, utamtangaza yeye kuwa mwovu?+
17 Kwa kweli, je, mtu yeyote anayechukia haki ataongoza,+Na ikiwa mwenye nguvu ni mwadilifu, je, utamtangaza yeye kuwa mwovu?+