Zaburi 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maumivu huwa mengi kwa wale ambao, wakati kuna mtu mwingine, humfuata haraka.+Sitamimina matoleo yao ya kinywaji ya damu,+Nami sitayachukua majina yao juu ya midomo yangu.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:4 Mnara wa Mlinzi (Funzo),12/2018, kur. 27-28
4 Maumivu huwa mengi kwa wale ambao, wakati kuna mtu mwingine, humfuata haraka.+Sitamimina matoleo yao ya kinywaji ya damu,+Nami sitayachukua majina yao juu ya midomo yangu.+