Zaburi 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+
10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+