Zaburi 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamhesabii kosa,+Na ambaye katika roho yake hamna udanganyifu.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:2 Furahia Maisha Milele!, somo la 57